Meneja Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom, Salum Mwalim akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa SACP Isunto Mantage, wakati wawili hao walipokutana katika banda la Vodacom katika maonyesho ya wadau watakaoshiriki mkutano wa uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanganyika mjini Mpanda. Kampuni ya Vodacom imefadhili chakula cha mchana na cha usiku kwa wajumbe zaidi ya mia nne watakaohudhuria mkutano huo.
TWIGA STARS YAFUZU WAFCON 2026 SASA YAKODOLEA MABILIONI YA CAF
-
Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake, 'Twiga Stars', imefuzu fainali za Kombe
la mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) 2026, kwa jumla wa mabao 3-0
dh...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment