Meneja Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom, Salum Mwalim akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa SACP Isunto Mantage, wakati wawili hao walipokutana katika banda la Vodacom katika maonyesho ya wadau watakaoshiriki mkutano wa uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanganyika mjini Mpanda. Kampuni ya Vodacom imefadhili chakula cha mchana na cha usiku kwa wajumbe zaidi ya mia nne watakaohudhuria mkutano huo.
RONALDO AFUNGA URENO YAITOA URENO NA KUTINGA 16 BORA KOMBE LA DUNIA
-
TIMU ya Ureno imefanikiwa kuingia Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la
Dunia baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia Alfajiti ya leo Uwanja
wa BM...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment