Meneja Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom, Salum Mwalim akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa SACP Isunto Mantage, wakati wawili hao walipokutana katika banda la Vodacom katika maonyesho ya wadau watakaoshiriki mkutano wa uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanganyika mjini Mpanda. Kampuni ya Vodacom imefadhili chakula cha mchana na cha usiku kwa wajumbe zaidi ya mia nne watakaohudhuria mkutano huo.
RAIS SAMIA ASISITIZA UHURU NA UBORESHAJI WA MASLAHI YA MAHAKAMA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji
Tanzani...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment