Meneja Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom, Salum Mwalim akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa SACP Isunto Mantage, wakati wawili hao walipokutana katika banda la Vodacom katika maonyesho ya wadau watakaoshiriki mkutano wa uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanganyika mjini Mpanda. Kampuni ya Vodacom imefadhili chakula cha mchana na cha usiku kwa wajumbe zaidi ya mia nne watakaohudhuria mkutano huo.
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment