Habari za Punde

*YANAYOJILI WATANI WA JADI WANAPOKUTANA

 MASHABIKI WA YANGA WAKIWA NA BENDERA YENYE PICHA YA MTANI WAO
Mahabiki wa timu ya Yanga, wakiingia kwa mbwembwe uwanja wa Taifa huku wakiwa na Bendera yenye picha ya mtani wao wa Jadi ambapo furaha hii ilidumu hadi mwisho wa mchezo huo. MATANI YA WATANI WA JADI, MTANI NANI ALIMFUNIKA MWENZAKE????
MASHABIKI WA SIMBA WAKIWA NA JENEZA LA PAPIC Mashabiki wa timu ya Simba wakiingia kwa mbwembwe uwanja wa Taifa huku wakiwa wamebeba Jeneza lenye jina la Kocha wa Yanga Papic, lakini mwisho wa mchezo huo jeneza hili halikuonekana lilipopitia. MATANI YA WATANI WA JADI MTANI NANI ALIMFUNIKA MWENZAKE???

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.