Mkongwe wa nchezo wa ngumi ambaye hivi sasa ni kocha aliyewafandisha vijana wengi wa nchezo huo, ambapo mmoja kati ya vijana hao ni Kocha wa mcheo huo Rajab Mhamila 'Super D' aliyejiunga na katika mchezo huo 1984 kipindi hicho akiwa bwana mdogo sana na kufanikiwa kutamba kupitia mchezo wa masubwi, ambapo kwa sasa ni mpiga picha wa gazeti la Majira na Kocha wa mchezo huo. Pichani Habib Kinyogoli (wa pili kulia) akiwa na kikombe chake baada ya kushinda katika moja ya mchezo wake huko majuu na kupokelewa na Hayati Rashid Kawawa.
TRA IRINGA YATANGAZA WIKI YA SHUKRANI KWA MLIPAKODI NA MAADHIMISHO YA MIAKA
30 YA TRA
-
NA DENIS MLOWE - IRINGA
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa imezindua rasmi ratiba ya
matukio yatakayofanyika kuanzia Juni 22 hadi Juni 27, ...
20 minutes ago

No comments:
Post a Comment