Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akiwapungia mikoni mashabiki wa soka wakati alipofika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo jioni kwa ajili ya kuzindua rasmi michuano ya TUSKER CECAFA CHALLENGE CUP 2011, ambapo michuano hiyo leo imezikutanisha timu za Tanzania Kilimanjaro Stars na Timu ya Taifa ya Rwanda Amavubi. Kipute hicho kimemaizika kwa timu ya Rwanda kuibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa katika kipindi cha kwanza na bao hilo kudumu hadi mwisho wa mchezo huo.
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
16 hours ago

No comments:
Post a Comment