BAADA ya shindano la kumsaka mrembo wa dunia 2011 kumalizika hatimaye alitangazwa msndi wa shindano hilo 'Malkia wa Dunia' 2011, mrembo kutoka nchini Venezuela (Miss Venezuela 2011) Ivian Sarcos katika shindano hilo lililofanyika usiku wa Jumapili Novemba 6. Pichani ni Miss World 2011, Ivian Sarcos, akiwa katika pozi na warembo wenzake wa pili hadi wa tano baada ya kutangazwa washindi.
MESSI AWEKA REKODI MPYA KOMBE LA DUNIA, ARGENTINA YAICHAPA AUSTRIA 2-0
-
TIMU ya Argentina imeendeleza wimbi la ushindi katika Fainali za Kombe la
Dunia baada ya kuichapa Austria mabao 2-0 katika mchezo wa Kundi J usiku
huu Uw...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment