BAADA ya shindano la kumsaka mrembo wa dunia 2011 kumalizika hatimaye alitangazwa msndi wa shindano hilo 'Malkia wa Dunia' 2011, mrembo kutoka nchini Venezuela (Miss Venezuela 2011) Ivian Sarcos katika shindano hilo lililofanyika usiku wa Jumapili Novemba 6. Pichani ni Miss World 2011, Ivian Sarcos, akiwa katika pozi na warembo wenzake wa pili hadi wa tano baada ya kutangazwa washindi.
DIAMOND AIPONGEZA JAB, AAHIDI VYOMBO VYAKE KUTII SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Mkurugenzi wa Wasafi Media, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz,
ameipongeza Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa k...
30 minutes ago

No comments:
Post a Comment