BAADA ya shindano la kumsaka mrembo wa dunia 2011 kumalizika hatimaye alitangazwa msndi wa shindano hilo 'Malkia wa Dunia' 2011, mrembo kutoka nchini Venezuela (Miss Venezuela 2011) Ivian Sarcos katika shindano hilo lililofanyika usiku wa Jumapili Novemba 6. Pichani ni Miss World 2011, Ivian Sarcos, akiwa katika pozi na warembo wenzake wa pili hadi wa tano baada ya kutangazwa washindi.
Habari : Dkt. Mpango Ataja maeneo manne muhimu kwa Vyombo vya Habari Barani
Afrika
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor
Mpango, amevitaka vyombo vya habari barani Afrika kuzing...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment