BAADA ya shindano la kumsaka mrembo wa dunia 2011 kumalizika hatimaye alitangazwa msndi wa shindano hilo 'Malkia wa Dunia' 2011, mrembo kutoka nchini Venezuela (Miss Venezuela 2011) Ivian Sarcos katika shindano hilo lililofanyika usiku wa Jumapili Novemba 6. Pichani ni Miss World 2011, Ivian Sarcos, akiwa katika pozi na warembo wenzake wa pili hadi wa tano baada ya kutangazwa washindi.
Elimu : NECTA Yatangaza kuanza kwa mitihani ya Darasa la Saba 2025
-
Na Sophia Kingimali.
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi kuanza kwa mtihani wa
kumaliza elimu ya msingi huku likitoa rai kwa jamii na ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment