Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Balozi wa Shirikisho la Urusi (Russian Federation) Bw. Alexandra Alexandrovich Rannikh baada ya kukutana na kuongea nae leo Ikulu jijini Dar es salaam. Katikati ni mkalimani, Nikita Rassokhin. (Picha na Ikulu)
Tuwakatae kwa nguvu zote wachochezi wanaotaka kuturudisha Oktoba 29
-
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa
Kagera, Faris Buruhani, amewataka vijana kuendelea kulinda amani na utulivu
wa nc...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment