Mshambuliaji wa timu ya Taifa 'Taifa Stars' Mbwana Samatta, akimtoka beki wa Chad, Sylvain Doubam, wakati wa mchezo marudiano kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, mpaka hivi sasa bado ni droo na mpira ni mapumziko ukitarajiwa kuanza kipindi cha pili baada ya dakika chache zijazo.

No comments:
Post a Comment