Wanamitindi wa Kibongo walioshiriki katika Tamasha la wanamitindo lililofanyika jana jioni Maryland wakiwa jukwaani wakati wakiwakilisha kwa mavazi yao ya nguvu yaliyokonga na kumvutia kila aliyehudhuria shoo hiyo.
TAIFA STARS YATOA SARE 1-1 NA UGANDA AFCON
-
TANZANIA na Uganda zimegawana pointi kwa sare ya kufungana bao 1-1 katika
mchezo wa Kundi C Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) usiku huu
Uwanj...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment