Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, abaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA, DkT. Ali Mohamed Shein, akimtunuku shahada ya uzamivu ya heshima ya chuo kikuu cha Taifa SUZA Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume,wakati wa sherehe za mahafali ya 7 ya chuo hicho zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja jana. Picha na Ramadhan Othman IKULU.
Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha
Dira 2050
-
Na Mwandishi wa OTR
Pwani. Serikali imezitaka Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali
kuachana na utendaji wa mazoea na kujielekeza katika uongoz...
7 minutes ago

No comments:
Post a Comment