Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, abaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA, DkT. Ali Mohamed Shein, akimtunuku shahada ya uzamivu ya heshima ya chuo kikuu cha Taifa SUZA Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume,wakati wa sherehe za mahafali ya 7 ya chuo hicho zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja jana. Picha na Ramadhan Othman IKULU.
TAEC Yajadili Mustakabali wa Nishati ya Nyuklia Rwanda
-
*Na Mwandishi Wetu-Kigali, Rwanda*
*TUME ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imeshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi
na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya N...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment