Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, abaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA, DkT. Ali Mohamed Shein, akimtunuku shahada ya uzamivu ya heshima ya chuo kikuu cha Taifa SUZA Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume,wakati wa sherehe za mahafali ya 7 ya chuo hicho zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja jana. Picha na Ramadhan Othman IKULU.
KIJANA SERIKALI HAIHITAJI KELELE INAHITAJI USHIRIKA WAKO
-
Katika ulimwengu wa sasa unaoendeshwa na matokeo, dhana ya kijana kukaa
pembeni na kupiga kelele kuishtumu serikali inazidi kupitwa na wakati,
badala ...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment