Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, abaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA, DkT. Ali Mohamed Shein, akimtunuku shahada ya uzamivu ya heshima ya chuo kikuu cha Taifa SUZA Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume,wakati wa sherehe za mahafali ya 7 ya chuo hicho zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja jana. Picha na Ramadhan Othman IKULU.
Kaya 28 Babati Zalipwa Fidia ya Bilioni 2.9 Kwa Maendeleo ya Huduma za
Kijamii
-
Mkuu wa Mkoa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, akizungumza na wananchi wa
Maisaka kuhusu malipo ya fidia ya maeneo yao yaliyotwaliwa kwa matumizi ya
huduma za ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment