Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (katikati) akikabidhi tiketi ya daraja la economy ya kutoka Dar es salaam kwenda Dubai na kurudi kwa mmoja wa washindi waliobahatika katika hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ubalozi wa Falme za Kiarabu kwa kushirikiana na shirika la ndege la Emirates katika kusherekea kumbukumbu ya miaka 40 ya uhuru wa nchi yao. Anayeshuhudia pembeni ni Meneja wa Emirates Tanzania Bwana Abdul Aziz Al Hai.
Kimataifa : Rais Samia Aondoka Kuelekea Urusi kwa Ziara ya Kitaifa
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nye...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment