Mtandao huu wa Sufianimafoto unayo furaha kubwa kuwatakia heri na fanaka wafanyakazi na viongozi wote wa Clouds Media kwa kutimiza miaka 12 tangu kuanzishwa kwa kituo cha kurushia matangazo ya Redio na sasa Clouds TV. Hongereni sana wana wa Clouds Ujumbe wangu ni Leweni Kazi, Msilewe Sifa, chapeni kazi.
CAF Yaruhusu Milango Wazi: Mashabiki Kuingia Bure Viwanjani AFCON 2025
-
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki
kuingia bure kwenye viwanja vinavyohodhi mechi teule za Kombe la Mataifa ya
Afrika...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment