Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndungulile (kushoto) akimkabidhi cheti Msanii, Jimmy Mponda kwa kutambua mchango wa kazi zake kilichotolewa na Kampuni ya usambazaji ya Steps Entertainment Dar es salaam juzu wakati wa sherehe za kuaga mwaka 2011 na kuukaribisha mwaka 2012 kwa wasanii wote nchini kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo. Dilesh Solanki na Rajiv Solanki.
RC Sendiga aanza ziara ya Kata kwa Kata Hanang', akagua miradi na kutatua
kero za Wananchi
-
*Na Ruth Kyelula, Manyara*
*Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, ameanza ziara maalumu ya
ukaguzi wa miradi na kusikiliza kero za wananchi kati...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment