Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndungulile (kushoto) akimkabidhi cheti Msanii, Jimmy Mponda kwa kutambua mchango wa kazi zake kilichotolewa na Kampuni ya usambazaji ya Steps Entertainment Dar es salaam juzu wakati wa sherehe za kuaga mwaka 2011 na kuukaribisha mwaka 2012 kwa wasanii wote nchini kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo. Dilesh Solanki na Rajiv Solanki.
REA YAMTAKA MKANDARASI CCC INTERNATIONAL MKOANI RUVUMA KUONGEZA KASI YA
UJENZI WA MRADI
-
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi Kampuni ya CCC
International Engineering Nigeria Ltd anayetekeleza Mradi wa Kusambaza
umeme katika Vit...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment