Tamasha kubwa la Nyama Choma lililopangwa kufanyika katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam, limeanza leo na kuwashirikisha wachomaji kibao kutoka Baa mbalimbali katika Viwanja hivi vya Kijitonyama jijini Dar es Salaam, pichani ni katika banda la Rose Garden likiwa tayari limeivisha nyama,
RC Sendiga aanza ziara ya Kata kwa Kata Hanang', akagua miradi na kutatua
kero za Wananchi
-
*Na Ruth Kyelula, Manyara*
*Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, ameanza ziara maalumu ya
ukaguzi wa miradi na kusikiliza kero za wananchi kati...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment