Tamasha kubwa la Nyama Choma lililopangwa kufanyika katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam, limeanza leo na kuwashirikisha wachomaji kibao kutoka Baa mbalimbali katika Viwanja hivi vya Kijitonyama jijini Dar es Salaam, pichani ni katika banda la Rose Garden likiwa tayari limeivisha nyama,
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment