Tamasha kubwa la Nyama Choma lililopangwa kufanyika katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam, limeanza leo na kuwashirikisha wachomaji kibao kutoka Baa mbalimbali katika Viwanja hivi vya Kijitonyama jijini Dar es Salaam, pichani ni katika banda la Rose Garden likiwa tayari limeivisha nyama,
GALARZA APIGA BONGE LA BAO PARAGUAY YAICHAPA UTURUKI 1-0 MAREKANI
-
TIMU ya Paraguay imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Uturuki katika mchezo
wa Kundi D Fainali za Kombe la Dunia Asubuhi ya leo Uwanja wa Levi's, Santa
Cl...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment