Rais Jakaya Kikwete, akiwakabidhi Bw. Clement A. Chagula na bintiye Olivia A. Chagula, medali kwa niaba ya baba na babu yao Marehemu Dkt. Wilbert Chagula, ambaye aikuwa ni mmoja wa mawaziri katika serikali ya awamu ya kwanza na mmoja wa watu maarufu waliotunukiwa nishani katika kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru. Bw Chagula, ambaye ni mtoto wa marehemu, hakuweza kufika Dar es salaam kupokea medali hiyo na Rais alipokuwa Kampala akatumia nafasi hiyo kumpatia leo asubuhi katika hoteli ya Speke Commonwealth Resort.
Watahiniwa 77 Wafutiwa Matokeo kwa Udanganyifu, Wawili Waandika
Matusi,Ufaulu Wapanda – NECTA
-
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limefuta matokeo ya watahiniwa 77,
wakiwemo 30 wa shule na 47 wa kujitegemea, waliobainika kufanya udanganyifu
w...
1 minute ago

No comments:
Post a Comment