Rais Jakaya Kikwete akihutubia kabla ya kumalizika kwa mkutano wa viongozi wa nchi maziwa makuu ambao wameridhia kupinga ukatili wa kijinsia katika nchi za maziwa makuu wakati wa kilele cha mkutano wa nchi hizo leo katika hoteli Speke Commonwealth Resort kitongoji cha Munyonyo nje ya jiji la Kampala
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment