Vijana wanaofanya kazi ya utingo katika daladala za Manispaa ya Iringa wakizichapa kavu kavu leo eneo la Posta mjini Iringa baada ya kutukanana matusi ya nguoni wakati wakigombea abiria kupakia katika daladala zao huku kila mmoja akiwavutia abiria kupanda kwake. Picha na Francis Godwin, Iringa
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment