Vijana wanaofanya kazi ya utingo katika daladala za Manispaa ya Iringa wakizichapa kavu kavu leo eneo la Posta mjini Iringa baada ya kutukanana matusi ya nguoni wakati wakigombea abiria kupakia katika daladala zao huku kila mmoja akiwavutia abiria kupanda kwake. Picha na Francis Godwin, Iringa
DIAMOND AIPONGEZA JAB, AAHIDI VYOMBO VYAKE KUTII SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Mkurugenzi wa Wasafi Media, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz,
ameipongeza Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa k...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment