Vijana wanaofanya kazi ya utingo katika daladala za Manispaa ya Iringa wakizichapa kavu kavu leo eneo la Posta mjini Iringa baada ya kutukanana matusi ya nguoni wakati wakigombea abiria kupakia katika daladala zao huku kila mmoja akiwavutia abiria kupanda kwake. Picha na Francis Godwin, Iringa
FIFA YATANGAZA DESEMBA 15 TAREHE YA MWKISHIO VILABU KUACHIA WACHEZAJI KWA
AFCON 2025
-
Ifikapo Jumatatu, Desemba 15, 2025, vilabu vyote lazima viwe vimewaachia
wachezaji wao kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini
Moro...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment