Vijana wanaofanya kazi ya utingo katika daladala za Manispaa ya Iringa wakizichapa kavu kavu leo eneo la Posta mjini Iringa baada ya kutukanana matusi ya nguoni wakati wakigombea abiria kupakia katika daladala zao huku kila mmoja akiwavutia abiria kupanda kwake. Picha na Francis Godwin, Iringa
JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI NA MADARASA SHULE YA SEKONDARI DK.
SELEMANI JAFO
-
*MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akikagua ujenzi wa
mabweni mawili na madarasa katika Shule ya Sekondari Dkt.Selemani
Jafo,wakati wa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment