Mtandao wa www.sufianimafoto.blogspot.com, unawatakia heri ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka mpya, wadau wote na mungu awalinde katika siku muhimu kama hii ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo, na adumishe Amani na Upendo baina yetu na Nchi nzima, Amein.
SERIKALI YATAKA WANANCHI WAELIMISHWE KUHUSU ULINZI WA TAARIFA BINAFSI
-
Na Mwandishi Wetu, WMTH-Dodoma
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa
Kairuki (Mb), tarehe 15 Disemba 2025 amefan...
59 minutes ago

No comments:
Post a Comment