Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Wakuu wa Mikoa wote waliofika Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam jana, ambapo wazungumzia mikakati mbalimbali ya maendeleo na uboreshaji wa huduma za jamii. Picha na Ikulu
IMANI YA JUMUIYA YA KIMATAIFA KWA UONGOZI WA RAIS SAMIA IMEJIDHIHIRISHA
KUPITIA UFADHILI WA DOLA BILIONI 1.277 KUENDELEZA UJENZI WA SGR.
-
Aprili 28, 2026, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini
mkataba wa kukamilisha mpango wa ufadhili wa pamoja wenye thamani ya
takribani dola...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment