Bwana Harusi, Godfrey Kibaha na Bi Harusi Abia Richard, wakipozi kwa picha katika Ufukwe wa Sine Club jioni hii baada ya kufunga ndoa yao takatifi katika Kanisa la KKKT Kijitonyama leo. Wapendanao hao hivi sasa wanaendelea na sherehe ya ndoa yao katika Ukumbi wa Cassa Mikocheni.
MUUNGANO CARAVAN KUZINDULIWA DAR ES SALAAM KUKUZA UZALENDO NA ELIMU YA
MUUNGANO
-
Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam wanatarajiwa kushuhudia uzinduzi wa
kampeni maalum ya kitaifa ijulikanayo kama Muungano Caravan, yenye lengo la
kue...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment