Bwana Harusi, Godfrey Kibaha na Bi Harusi Abia Richard, wakipozi kwa picha katika Ufukwe wa Sine Club jioni hii baada ya kufunga ndoa yao takatifi katika Kanisa la KKKT Kijitonyama leo. Wapendanao hao hivi sasa wanaendelea na sherehe ya ndoa yao katika Ukumbi wa Cassa Mikocheni.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
5 days ago

No comments:
Post a Comment