Bwana Harusi, Godfrey Kibaha na Bi Harusi Abia Richard, wakipozi kwa picha katika Ufukwe wa Sine Club jioni hii baada ya kufunga ndoa yao takatifi katika Kanisa la KKKT Kijitonyama leo. Wapendanao hao hivi sasa wanaendelea na sherehe ya ndoa yao katika Ukumbi wa Cassa Mikocheni.
WIZARA YA AFYA YASIKITISHWA NA WANAOTAPELI KWA JINA LA MCHENGERWA
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa k...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment