Tunatambua kuwa Wanavyuo wenzetu walimu walikuwa hawana kazi kwa muda mrefu Jambo ambalo liliwafanya wengi kuwa na wasi wasi na mwajiri wao. Tunapenda kuwapa tarifa kupitia mtandao wenu wa Matukio na wanavyuo (www.tzwanavyuo.blogspot.com) kuwa, Walimu wahitimu wote Jana usiku majira ya sa saba Nafasi hizo zilitangazwa Rasmi, Pia sisi Tunapenda kuwasilisha majina ya wanafunzi ambao wamechaguliwa Tunaomba mchukue Muda wenu kutazama kwa umakini majina yenu yote yapo hapa. Hongereni sana.
WIZARA YA ELIMU YAOMBA SH. TRILIONI 2.398 KWA BAJETI YA 2026/2027
-
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeomba kuidhinishiwa jumla ya
Shilingi trilioni 2.398 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu na miradi
mbalimbali ya ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment