Habari za Punde

.*BREAKING NEEEWZ, MBUNGE WA ARUMERU JEREMIA SUMARI AFARIKI DUNIA

TAARIFA zilizotufikia katika mandao huu wa sufianimafoto, muda huu zinasema kuw Mbunge wa Jimbo la Arumeru kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Jeremia Sumari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hopitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kwa ugonjwa wa Kansa ya kichwa. Bwana alitoa na Bwana  ametwaa Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, amina

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.