TAARIFA zilizotufikia katika mandao huu wa sufianimafoto, muda huu zinasema kuw Mbunge wa Jimbo la Arumeru kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Jeremia Sumari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hopitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kwa ugonjwa wa Kansa ya kichwa. Bwana alitoa na Bwana ametwaa Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, amina
WIZARA YA ELIMU YAOMBA SH. TRILIONI 2.398 KWA BAJETI YA 2026/2027
-
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeomba kuidhinishiwa jumla ya
Shilingi trilioni 2.398 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu na miradi
mbalimbali ya ...
59 minutes ago

No comments:
Post a Comment