TAARIFA zilizotufikia katika mandao huu wa sufianimafoto, muda huu zinasema kuw Mbunge wa Jimbo la Arumeru kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Jeremia Sumari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hopitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kwa ugonjwa wa Kansa ya kichwa. Bwana alitoa na Bwana ametwaa Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, amina
TANZANIA YAENDELEA KUTOA MCHANGO MUHIMU KATIKA ULINZI WA KIKANDA
-
TANZANIA imeendelea kuonesha uongozi thabiti katika kuimarisha amani,
usalama na ushirikiano wa kisiasa katika ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Af...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment