TAARIFA zilizotufikia katika mandao huu wa sufianimafoto, muda huu zinasema kuw Mbunge wa Jimbo la Arumeru kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Jeremia Sumari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hopitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kwa ugonjwa wa Kansa ya kichwa. Bwana alitoa na Bwana ametwaa Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, amina
Washindi wa 'Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa waendelea kujishindia zawadi
-
Mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya Kampeni ya 'Ujanja ni Kuswipe na
Kadi ya Absa', Bi. Flora Obeto (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya shs
milioni...
36 minutes ago

No comments:
Post a Comment