TAARIFA zilizotufikia katika mandao huu wa sufianimafoto, muda huu zinasema kuw Mbunge wa Jimbo la Arumeru kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Jeremia Sumari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hopitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kwa ugonjwa wa Kansa ya kichwa. Bwana alitoa na Bwana ametwaa Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, amina
TAIFA STARS YATOA SARE NA SUDAN 1-1 SAUDI ARABIA
-
TIMU ya taifa ya Tanzania imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Sudan katika
mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa King Fahd Sport City mjini Ta'if, Saudi
Arabi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment