TAARIFA zilizotufikia katika mandao huu wa sufianimafoto, muda huu zinasema kuw Mbunge wa Jimbo la Arumeru kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Jeremia Sumari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hopitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa kwa ugonjwa wa Kansa ya kichwa. Bwana alitoa na Bwana ametwaa Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, amina
Elimu : Uwekazaji wa Samia Kwenye Sayansi Kuendelea, Wanafunzi 16 Kusomea
Dat Science na AI Afrika Kusini
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza utekelezaji
kwa vitendo wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassa...
11 minutes ago

No comments:
Post a Comment