Mchezaji wa Pool wa Mkoa wa kimichezo wa Kinondoni, Ally Akida akicheza na mpinzani wake Ally Akbar wa Temeke wakati wa Bonanza la Mikoa mitatu ya Dar es Salam lililofanyika na kuandaliwa na Mkoa wa Kinondoni Meeda Sinza jana. Katika mchezo huo Ally Akida alishinda.
BAFANA BAFANA YAANZA VYEMA AFCON, YAICHAPA ANGOLA 2-1
-
TIMU ya Afrika Kusini imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya jirani zao,
Angola katika mchezo wa Kundi B Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika
(AFCON)...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment