Mbwa huyu alitaka kuzua kizaa zaa baada ya kutaka kuruka kutoka dirishani wakati gari likiwa kwenye mwendo Barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Mbuyuni Dar es Salaam jana.Gari la kushoto liliyumba na kuhama njia ghafla na gari lenye mbwa huyo kukimbilia kulia zaidi.
DKT. LAZARO BUNUNGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA PERAMIHO
-
Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi
(CCM), Dkt. Lazaro Komba Bunungu, amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya
kugo...
47 minutes ago

No comments:
Post a Comment