Mbwa huyu alitaka kuzua kizaa zaa baada ya kutaka kuruka kutoka dirishani wakati gari likiwa kwenye mwendo Barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Mbuyuni Dar es Salaam jana.Gari la kushoto liliyumba na kuhama njia ghafla na gari lenye mbwa huyo kukimbilia kulia zaidi.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment