Rais Jakaya Kikwete leo ametembelea Morogoro vijijini na kuzindua madaraja mawili makubwa katika mto Mtombozi, Matombo, na mto Magogoni katika barabara ya Kiganila-Mvuha, pia ameweka jiwe la msingi la soko la kijiji cha Mtamba na kukagua ujenzi wa barabara sehemu ya Kisaki, Msalabani.
IVORY COAST NA CAMEROON NGOMA DROO, ZAFUNGANA 1-1 MOROCCO
-
TIMU za Ivory Coast na Cameroon zimegawana pointi baada ya sare ya
kufungana bao 1–1 katika mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Mataifa ya
Afrika (AFC...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment