Msimamizi wa mazoezi ya Mchezo wa ngumi katika kambi iliyopo Sinza makaburini, Bernald Lumbila (kulia) akimfanyisha mazoezi Bondia, Kalama Nyilawila, wakati wa mazoezi ya Bondia huyo anayejifua ikiwa ni sehemu ya maandalizi yake kwa ajili ya mpambano wake na Francis Cheka, pambano linalotarajia kufanyika Januari 28 mwaka huu, mjini Morogoro. Picha na Super D
TAEC Yajadili Mustakabali wa Nishati ya Nyuklia Rwanda
-
*Na Mwandishi Wetu-Kigali, Rwanda*
*TUME ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imeshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi
na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya N...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment