Msimamizi wa mazoezi ya Mchezo wa ngumi katika kambi iliyopo Sinza makaburini, Bernald Lumbila (kulia) akimfanyisha mazoezi Bondia, Kalama Nyilawila, wakati wa mazoezi ya Bondia huyo anayejifua ikiwa ni sehemu ya maandalizi yake kwa ajili ya mpambano wake na Francis Cheka, pambano linalotarajia kufanyika Januari 28 mwaka huu, mjini Morogoro. Picha na Super D
TASAC Yawasihi Vijana Kuchangamkia Mafunzo ya Mabaharia
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
LICHA ya sekta ya bahari kuwa na mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa
dunia, bado dunia inakabiliwa na upungufu mkubwa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment