Msimamizi wa mazoezi ya Mchezo wa ngumi katika kambi iliyopo Sinza makaburini, Bernald Lumbila (kulia) akimfanyisha mazoezi Bondia, Kalama Nyilawila, wakati wa mazoezi ya Bondia huyo anayejifua ikiwa ni sehemu ya maandalizi yake kwa ajili ya mpambano wake na Francis Cheka, pambano linalotarajia kufanyika Januari 28 mwaka huu, mjini Morogoro. Picha na Super D
NSSF: Wananchi Waliojiajiri Jiungeni, Jiwekeeni Akiba kwa Kesho Yenye
Uhakika
-
Dar es Salaam, Julai 10, 2026
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri
nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo i...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment