Msimamizi wa mazoezi ya Mchezo wa ngumi katika kambi iliyopo Sinza makaburini, Bernald Lumbila (kulia) akimfanyisha mazoezi Bondia, Kalama Nyilawila, wakati wa mazoezi ya Bondia huyo anayejifua ikiwa ni sehemu ya maandalizi yake kwa ajili ya mpambano wake na Francis Cheka, pambano linalotarajia kufanyika Januari 28 mwaka huu, mjini Morogoro. Picha na Super D
NMB Yapewa Tuzo Maalum na WCF kwa Uzingatiaji Bora wa Uwasilishaji wa
Michango ya Wafanyakazi
-
Dar es Salaam
Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha uongozi wake katika masuala ya
rasilimali watu baada ya kutunukiwa tuzo maalum na Mfuko wa Fidia kw...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment