Habari za Punde

*LOWASA AHUDHURIA SHEREHE YA HARUSI YA MTOTO WA MKUU WA MKOA WA SINGIDA, OLE KONE

  Bibi Harusi Joan Catherine Joseph akikabidhi keki kwa Baba Mkwe wake Mkuu wa Mkoa wa Singida Parseko Ole Kone, wakati wa harusi ya kijana wake iliyofanyika jana mjini Arusha, pembeni yake ni Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa ambaye pi ni Mbunge wa Jimbo la Monduli na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Goodluck Ole Medeye.
 Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akifurahia jambo wakati alipokuwa akimtambulisha mbunge wa Viti maalumu CHADEMA Mkoa wa Singida.
Lowassa, Parseko Kone, Goodluick Ole Medeye, Mama Regina Lowassa wakigonganisha Glasi  kama ishara ya kuwapongeza maharusi.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.