Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi majengo ya mabweni ya shule ya Sekondari ya wasichana ya Nachingwea, wakati wa ziara yake ya Mkoa wa Lindi, iliyoanza leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifunua kitambaa ikiwa ni ishara ya kuweka jiwe la Msingi katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Nachingwea, wakati wa ziara yake Mkoa wa Lindi iliyoanza leo
No comments:
Post a Comment