Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na ujumbe kutoka Abort Fund, Andy Wilson (katikati) na Dkt. Ayub Magimba, wakati walipomtembelea ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo Januari 18, 2012, kwa ajili ya mazungumzo.
Kamati ya Ukaguzi TARURA yatembelea Miradi minne ya barabara Shinyanga
-
Shinyanga
IKIWA katika muendelezo wa ziara yake ya kutembelea utekelezaji wa miradi
ya ujenzi wa miundombinu ya barabara, Kamati ya Ukaguzi ya TARUR...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment