Rais Jakaya Kikwete leo ametembelea Morogoro vijijini na kuzindua madaraja mawili makubwa katika mto Mtombozi, Matombo, na mto Magogoni katika barabara ya Kiganila-Mvuha, pia ameweka jiwe la msingi la soko la kijiji cha Mtamba na kukagua ujenzi wa barabara sehemu ya Kisaki, Msalabani.
DK.SAMA AELEZA MIPANGO YA SERIKALI MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIJI LA
DAR
-
*Aahidi wananchi kushuhudia mageuzi makubwa kuanzia mwakani
*Aweka wazi mkakati mabasi yaendayo haraka,ujenzi wa Fly Over tatu
Na Said Mwishehe,Michuz...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment