Rais Jakaya Kikwete leo ametembelea Morogoro vijijini na kuzindua madaraja mawili makubwa katika mto Mtombozi, Matombo, na mto Magogoni katika barabara ya Kiganila-Mvuha, pia ameweka jiwe la msingi la soko la kijiji cha Mtamba na kukagua ujenzi wa barabara sehemu ya Kisaki, Msalabani.
WANANCHI WAONYA WENYE NYUMBA 'KUUZA' AMANI YA NCHI KWA TAMAA YA FEDHA
-
Katika kile kinachoonekana kama operesheni ya kuimarisha ulinzi wa Taifa
kuanzia ngazi ya kaya, viongozi wa Serikali za Mitaa na wadau wa usalama
nchin...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment