Rais Jakaya Kikwete leo ametembelea Morogoro vijijini na kuzindua madaraja mawili makubwa katika mto Mtombozi, Matombo, na mto Magogoni katika barabara ya Kiganila-Mvuha, pia ameweka jiwe la msingi la soko la kijiji cha Mtamba na kukagua ujenzi wa barabara sehemu ya Kisaki, Msalabani.
WIZARA YA ELIMU YAOMBA SH. TRILIONI 2.398 KWA BAJETI YA 2026/2027
-
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeomba kuidhinishiwa jumla ya
Shilingi trilioni 2.398 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu na miradi
mbalimbali ya ...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment