Beki wa timu ya Manchester Cit, Vincent Kompany (chini) akimchezea vibaya Kiungo wa Manchester United, Nani, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu yaengland unaoendelea katika uwanja wa Etihad, Manchester. Kompany amezawadiwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Nani, hadi sasa mpira ni mapumziko na Man U inaongoza ikiwambele kwabao 3-0.
Mashirikiano PURA, ALNAFT kuimarisha ufanisi wa utendaji
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na
kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli ya
Nchini Algeri...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment