Habari za Punde

*MAN U INAONGOZA KWA MABAO 3-0 DHIDI YA MAN CITY NI MAPUMZIKO SASA

Beki wa timu ya Manchester Cit, Vincent Kompany (chini) akimchezea vibaya Kiungo wa Manchester United, Nani, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu yaengland unaoendelea katika uwanja wa  Etihad,  Manchester.  Kompany amezawadiwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Nani, hadi sasa mpira ni mapumziko na Man U inaongoza ikiwambele kwabao 3-0.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.