Beki wa timu ya Manchester Cit, Vincent Kompany (chini) akimchezea vibaya Kiungo wa Manchester United, Nani, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu yaengland unaoendelea katika uwanja wa Etihad, Manchester. Kompany amezawadiwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Nani, hadi sasa mpira ni mapumziko na Man U inaongoza ikiwambele kwabao 3-0.
DIRA 2050 YA TANZANIA TUITAKAYO IMEKAMILIKA,RAIS SAMIA KUIZINDUA JULAI 17
-
*Dk.Samia aingia katika historia ya kuandika dira isiiyokuwa na muelekeo wa
Itikadi ya Chama
*Profesa Mkumbo ataja hatua kwa hatua jinsi mchakato ulivyo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment