Mshambuliaji wa Man U, Rooney, akishangilia na beki wake, Evra, baada ya kufunga bao wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika muda mchache uliopita na Man U kuibuka na ushindi wa mabao 3-2.
Kitaifa : Mfumo Mpya kuwezesha Watanzania kupata fursa za Ajira nje ya nchi
- Waziri Kikwete
-
Na Mwandishi Wetu; Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye
Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amesema katika mwaka ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment