Beki wa timu ya Manchester Cit, Vincent Kompany (chini) akimchezea vibaya Kiungo wa Manchester United, Nani, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu yaengland unaoendelea katika uwanja wa Etihad, Manchester. Kompany amezawadiwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Nani, hadi sasa mpira ni mapumziko na Man U inaongoza ikiwambele kwabao 3-0.
DKT MWIGULU: VIONGOZI WA DINI ENDELEENI KUTOA ELIMU YA UMOJA NA AMANI
-
_Atoa wito kwa Watanzania kuhimiza umoja na amani_.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa viongozi wa dini
kuendelea kushirikiana na Serikal...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment