Bondia Rashid Matumla, akiwa katika mazoezi kujiandaa na pambano lake lisilo la ubingwa dhidi ya Maneno Oswald, ‘Mtambo wa Gongo’, linalotarajia kufanyika Februari 25 mwaka huu katika Ukumbi wa PTA Sabasaba, baada ya pambano lao lililopita kutoka sare kwa Pointi 99-99.
MOROCCO YAKWAMA KWA MALI, ZATOKA SARE 1-1
-
WENYEJI, Morocco wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mali katika
mchezo wa Kundi A Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 usiku
huu U...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment