Pages

Karibuni Katika ukurasa wa Sufiani Mafoto, jipatie Habari Motomoto na Matukio Mbali Mbali yanayojiri kila siku.Pia Tunakaribisha Matangazo Ya Aina mbalimbali kwa gharama Nafuu Kabisa.Kwa mawasiliano +255 655 306 109.Nyote Mnakaribishwa.

Friday, January 27, 2012

*MTOTO ALIYEZALIWA MAHABUSU AENDELEA KUSOTA MAHABUSU NA WAZAZI WAKE

Mtoto Azra, akiwa amepakatwa na Baba yake mzazi akiwa na Mama yake mzazi wakati walipokuwa nje ya Mahabusu ya Mahakama Kuu jijini Mbeya wakati walipofikishwa kwa ajili ya kusikiliza kesi yao inayowakabili kwa kukutwa na madawa ya kulevya.
Mtoto Azra, akiwa amepumzika kwa usingizi akiwa amepakatwa na mzazi wake Mahakamani hapo.

0 idadi ya maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA BLOG