Gari kubwa Roli aina ya Sania, likiwa limeangua pembezoni mwa barabara ya Morogoro eneo la Kiluvya jana, haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo na haikuweza kufahamika hasara na majeruhi waliotokana na ajali hiyo, kama ilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto.
WAZIRI AWESO ATAKA KAZI ZIFANYIKE USIKU NA MCHANA KUKAMILISHA MRADI WA MAJI
MKINGA
-
Na Oscar Assenga, MKINGA
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amemtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi wa Maji
Mkinga – Horohoro kuhakikisha wanafanya kazi usiku...
6 minutes ago

No comments:
Post a Comment