Gari kubwa Roli aina ya Sania, likiwa limeangua pembezoni mwa barabara ya Morogoro eneo la Kiluvya jana, haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo na haikuweza kufahamika hasara na majeruhi waliotokana na ajali hiyo, kama ilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto.
MRADI MKUBWA WA DHAHABU SENGEREMA KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI-MAVUNDE
-
☑️ Serikali yasaini mkataba wa nyongeza ya hisa kutoka asilimia 16 hadi 20
na Kampuni ya Nyanzaga
☑️ Mwekezaji arejesha Leseni Serikalini, Waziri Mav...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment