Timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam jioni hii imeonja joto ya jiwe kwa kupigwa stop katika msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa kufungwa bao 1-0 na timu inayosuasua katika msimamo hu wa Ligi, Villa Squard. Bao pekee katika mchezo huo limefungwa katika dakika ya 40 ya mchezo na Nsa Job, huku timu hiyo ikicheza na wachezaji pungufu baada ya wachezaji wake wawili kulimwa kadi nyekundu.
SERIKALI YAMWAGA TRILIONI 10 UJENZI WA BANDARI: MBAMBA BAY YAFIKIA ASILIMIA
47
-
Serikali ya Awamu ya Sita imeweka rekodi kwa kuwekeza zaidi ya shilingi
trilioni 10.08 katika utekelezaji wa miradi 22 ya ujenzi, upanuzi, na
maboresh...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment