Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Mama Asha Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro na baadhi ya viongozi wa mkoa huo, wakitoka kukagua ujenzi wa mradi wa Bwawa la umwagiliaji lililopo kijiji cha Rwayo, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Mbeya jana.
AMANI NI PUMZI: Shuhuda za Wakazi wa Bariadi kwamba amani ndiyo msingi mkuu
wa uhuru wa nafsi
-
KATIKA mitaa ya mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, neno Amani si neno la
kisiasa tu, bali ni pumzi inayowawezesha wananchi kuamka na kutimiza wajibu
wao wa ...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment