Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Mama Asha Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro na baadhi ya viongozi wa mkoa huo, wakitoka kukagua ujenzi wa mradi wa Bwawa la umwagiliaji lililopo kijiji cha Rwayo, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Mbeya jana.
MAMBO YANOGA UKURASA MPYA WA HAKI KUENDANA NA WAKATI
-
Katika ulimwengu wa sasa unaokwenda kwa kasi ya mwanga, sheria ambazo
haziendani na wakati ni sawa na nanga inayozuia meli ya maendeleo kung'oa
nanga....
43 minutes ago

No comments:
Post a Comment