Wachina waliokamatwa katika eneo la Bahari ya Hindi eneo la Tanzania wakifanya uvuvi haramu kinyume na utaratibu, Nahodha Hsui Chin Tai (kushoto) na Zhao Hinguin, wakiwa ndani ya chumba cha Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam (kitengo cha Biashara) leo wakisubiri kupelekwa jela baada ya kuhukumiwa kwenda Jela miaka 20 ama kulipa faini ya Sh. Bilioni 20. Picha na Mpiga Picha Wetu
ZANZIBAR WAANZA MAFUNZO MANYONI, WAJIFUNZA HIFADHI ZA NYUKI
-
Manyoni, Singida, Februari 12, 2026 — Ziara ya mafunzo ya wataalamu wa
Idara ya Misitu Zanzibar imeingia siku ya pili leo kwa ujumbe huo kuanza
rasmi maf...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment