Wachina waliokamatwa katika eneo la Bahari ya Hindi eneo la Tanzania wakifanya uvuvi haramu kinyume na utaratibu, Nahodha Hsui Chin Tai (kushoto) na Zhao Hinguin, wakiwa ndani ya chumba cha Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam (kitengo cha Biashara) leo wakisubiri kupelekwa jela baada ya kuhukumiwa kwenda Jela miaka 20 ama kulipa faini ya Sh. Bilioni 20. Picha na Mpiga Picha Wetu
MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA UFADHILI WA MAENDELEO
NCHINI HISPANIA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akihutubia Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4)
un...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment