Wachina waliokamatwa katika eneo la Bahari ya Hindi eneo la Tanzania wakifanya uvuvi haramu kinyume na utaratibu, Nahodha Hsui Chin Tai (kushoto) na Zhao Hinguin, wakiwa ndani ya chumba cha Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam (kitengo cha Biashara) leo wakisubiri kupelekwa jela baada ya kuhukumiwa kwenda Jela miaka 20 ama kulipa faini ya Sh. Bilioni 20. Picha na Mpiga Picha Wetu
BAOBAB WAKUTANA NA NBAA, WAPATIWA ELIMU YA UHASIBU
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kuimarisha juhudi zake za kutoa elimu kwa wanafunzi mbalimbali wa Sekondari
na ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment