Wachina waliokamatwa katika eneo la Bahari ya Hindi eneo la Tanzania wakifanya uvuvi haramu kinyume na utaratibu, Nahodha Hsui Chin Tai (kushoto) na Zhao Hinguin, wakiwa ndani ya chumba cha Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam (kitengo cha Biashara) leo wakisubiri kupelekwa jela baada ya kuhukumiwa kwenda Jela miaka 20 ama kulipa faini ya Sh. Bilioni 20. Picha na Mpiga Picha Wetu
DKT MWAMBA AAGIZA KUZINGATIA MAONI,USHAURI ILI KULETA TIJA KATIKA MIPANGO.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt Natu Mwamba
amewataka washiriki wa Mafunzo na Kikao Kazi c...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment