Roli lililokuwa limesheheni mzigo mkubwa wa makreti ya Bia, likiwa limeacha njia na kuingia mtaroni na kuangusha mzigo wote wa makreti ya Bia katika eneo la Kijiji cha Rungemba Wilaya ya Mafinga, kama lilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto jana. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo.
NMB YAINGIA AMAMU MPYA YA UBORA WA HUDUMA KWA WATEJA.
-
Benki ya NMB imekamilisha uhamishaji wa shughuli zake kwenda katika Mfumo
Mkuu mpya wa Benki, hatua inayolenga kuongeza uwezo wa kushughulikia
miamala, kui...
3 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment