Roli lililokuwa limesheheni mzigo mkubwa wa makreti ya Bia, likiwa limeacha njia na kuingia mtaroni na kuangusha mzigo wote wa makreti ya Bia katika eneo la Kijiji cha Rungemba Wilaya ya Mafinga, kama lilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto jana. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo.
TRA YAZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MASUALA YA FORODHA
KWA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua dawati maalum la uwezeshaji
biashara za Forodha kwa wafanyabiashara wa Kariakoo pekee ili kuharakisha
upatikanaj...
4 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment