Nauibu Waziri wa Ujenzi, Dkt. Harrison Mwakyembe, akiazungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam leo, kuhusu maendeleo ya afya yake baada ya kurejea nchini ambapo amesema kuwa kwa hivi sasa anaendelea vizuri na kwamba yupo fiti kiafya, na tayari ameripoti ofisini rasmi leo kwa kuanza kazi. Mwakyembe hakutaka kuweka wazi kuhusu mambo mengine aliyokuwa akiulizwa na waandishi wa habari kuhusu uvumi ulioenea juu ya afya yake na kusema mambo yote anaiachia serikali kupitia tume maalumu iliyoundwa kufutilia suala la ugonjwa wake.
TADB wakulima kunufaika na fedha za mradi wa Two Step Loan
-
Na Mwandishi Wetu
USHIRIKIANO kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Japani kupitia
Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japani (JICA) umefungu...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment