Nauibu Waziri wa Ujenzi, Dkt. Harrison Mwakyembe, akiazungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam leo, kuhusu maendeleo ya afya yake baada ya kurejea nchini ambapo amesema kuwa kwa hivi sasa anaendelea vizuri na kwamba yupo fiti kiafya, na tayari ameripoti ofisini rasmi leo kwa kuanza kazi. Mwakyembe hakutaka kuweka wazi kuhusu mambo mengine aliyokuwa akiulizwa na waandishi wa habari kuhusu uvumi ulioenea juu ya afya yake na kusema mambo yote anaiachia serikali kupitia tume maalumu iliyoundwa kufutilia suala la ugonjwa wake.
SERIKALI YAHAMASISHA WANANCHI KULINDA HAKI NA USTAWI WA PUNDA.
-
Serikali imeendelea kuweka nguvu katika kulinda haki na ustawi wa mnyama
kazi punda kutokana na umuhimu wake kwa jamii katika kusaidia shughuli za
kiuchumi...
13 minutes ago

No comments:
Post a Comment