Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini
kitabu cha maomboleo ya aliyekuwa Rais wa Malawi, Dkt. Bingu wa Mutharika,
katika Ofisi za Ubalozi wa Malawi nchini, zilizopo Mikocheni jijini Dar es
Salaam leo, Kulia ni Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Flossie
Asekanao Gomile-Chidyaonga.
TARURA Mkuranga Yaendelea na Ujenzi wa Barabara ya Vikindu–Sengetini
Kuunganisha Pwani na Dar es Salaam
-
Na Miraji Msala, Mkuranga – Pwani
Mhandisi Aidan Maliva kutoka Kampuni ya Ubaruku Construction Co. Ltd,
alisema kazi hiyo inaendelea vizuri kwa kasi na kwa...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment