• Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Mazingira
  • Jamii
  • Siasa
  • Bunge
  • Habari Picha
  • Michezo
  • Burudani
SUFIANIMAFOTO

Habari za Punde

Home *MTAYARISHAJI WA MUZIKI NCHINI, MAN WATER KUTOA ZAWADI KWA ALLY KIBA NA MBATIZAJI

*MTAYARISHAJI WA MUZIKI NCHINI, MAN WATER KUTOA ZAWADI KWA ALLY KIBA NA MBATIZAJI

sufianimafoto Thursday, April 05, 2012
 MTAYARISHAJI wa muziki nchini 'Producer', Man Water (Man Maji),anaendelea na program yake aliyoianzisha ya kutoa zawadi kwa wasanii waliorekodi katika studio yake ya COMBINATION SOUNDS,na nyimbo za wasanii hao kuweza kufanya vizuri katika vituo vya redio hapa nchini na nje ya nchi.

Program hiyo aliyoipa jina la kutoa shukrani kwa wasanii ambao kwa namna moja ama nyingine wanakuwa wanaitangaza studio yake vyema na kumfanya yeye kuweza kujulikana na kupata kazi nyingi zaidi, aliinza kwa msanii 20 percent,ambapo alikuwa ndio msanii wa kwanza kuweza kupewa zawadi na Man water,Kwa kumnunuliwa baadhi ya vyombo vya muziki.

Mwaka huu pia,Man Water tayari ameshatangaza nia yake hiyo ya kutoa zawadi kwa wasanii wawili waliorekodi nyimbo zao katika studio yake ya COMBINATION SOUNDS, ambao aliwataja kuwa ni ALLY KIBA na Mbatizaji, Kiba ni msanii ambaye nyimbo yake ya DUSHELELE iliweza kufanya vizuri na kukubalika sana.

''Dushelele ni nyimbo iliyoweza kufanya vizuri na kushika chati mbalimbali katika radio stations na Tv stations  za hapa nchini Tanzania na hata nnje ya nchi, Ally Kiba ni msanii mzuri mwenye kipaji na anaamini kwamba ni mmoja kati ya wasanii waliopo nchini Tanzania ambao wanaweza kuufanya muziki huu kuwa bora zaidi na kuutangaza nje ya mipaka ya Tanzania kwa urahisi zaidi, nitaendelea kufanya kazi na msanii huyu ili kuweza kutengeneza nyimbo zenye ubora zaidi na kuendelea kuwaelimisha na kuwaburudisha wapenzi wa muziki huu wa kizazi kipya''. alisema Man Water

MBATIZAJI,ni msanii wa pili atakayeibuka na zawadi hiyo, baada ya nyimbo yake ya HESHIMA KAZI, kuweza  kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio na television vya  hapa nchini.

''Mbatizaji ni mmoja kati ya wasanii wenye tungo zenye maadili na kufundisha jamii ambaye kwa mara ya kwanza nilikutana na Mbatizaji (kipindi hicho akijulikana kwa jina la MASTA’ BROS) mkoani Morogoro mwaka 2003 na kuweza kusikia nyimbo zake kama “BARUA KWA MAMA” na “NINI MAANA YA MAISHA”  na kuona uwezo mkubwa alionao katika utunzi wa nyimbo zake,ndipo mwaka 2005,wakati niliwa nafanya kazi katika moja ya studio zilizopo mkoani Morogoro,nikamrekodia wimbo uliojulikana kwa jina la “KIPI HASA?”,

Wimbo huu ulipigwa katika midundo ya kapuka (staili kutoka Uganda), Mwaka jana Mbatizaji aliingia katika studio za COMBINATION SOUNDS na kutaka kurekodi wimbo wa HESHIMA KAZI, kwa kweli nilifurahishwa sana na ujumbe uliopo ndani ya whuo na kummwagia sifa nyingi msanii huyu,ndipo wakati akiwa anamuelekeza MBATIZAJI baadhi ya sehemu,wakajikuta wakiamua kuuimba wimbo huo pamoja ili kuupa radha na ubora zaidi.

“Unajua ninaufahamu uwezo wa Mbatizaji so kwa wimbo bora kama ule hata mimi ulinipa mzuka wa kuweza kuimba na kurekodi,na naamini hatutoishia katika heshima kazi tu,tuna mpango wa kufanya kitu tofauti zaidi na hasa ukizingitia Mbatizaji naye pia ni mtayarishaji wa muziki so tunaounganisha ujuzi na kutoka na kitu cha ukweli''. alisema Man Water
 
 
  • Blog Comments
  • Facebook Comments

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

MATANGAZO MADOGO MADOGO

MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com

BLOGU RAFIKI

  • MTAA KWA MTAA BLOG
    SERA NA MIFUMO YA FEDHA KUBORESHWA KUIMARISHA UCHUMI - NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Serikali imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha sekta ya fedha nchini ili iwe chachu ya maendeleo ya haraka ya ki...
    1 hour ago
  • LENZI YA MICHEZO
    Barker, Ibrahim Imoro Wang’ara Tuzo za Machi - Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker, amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuiongoza timu yake kupata matokeo ya kuridhi...
    1 hour ago
  • MICHUZI
    TMDA YAUNGANISHA TANCIS NA RIMS, SASA WAINGIZAJI WA MIZIGO MIKUBWA YA FORODHA KUTUMIA MFUMO WA TANCIS - MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imewatangazia waingizaji wa mizigo mikubwa ya forodha ya bidhaa za Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi nchini, kuwa mif...
    1 hour ago
  • JIACHIE
    MODULI YA RUFAA KUBORESHA MNYORORO WA UGAVI - Na Mwandishi wetu, Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imesema ujenzi wa moduli ya kupokea na kushughulikia malalamiko na rufaa katika mfu...
    2 hours ago
  • BIN ZUBEIRY
    MUDA APIGA MBILI YANGA SC YAICHAPA PAMBA 3-0 KIRUMBA - MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo...
    23 hours ago
  • Wazalendo 25 Blog
    Muungano : Waziri Masauni Ahimiza Vijana Kulinda Misingi ya Muungano - Na; Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa taasisi za e...
    2 days ago
  • PAMOJA
    MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA - Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo yaliyofanyik...
    1 week ago
  • LUKAZA
    TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew L...
    4 months ago
  • TZA
    Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini ke...
    1 year ago
  • BongoCelebrity
    - [image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio] Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio alt=”” class=”w...
    2 years ago
  • HABARI NA MATUKIO
    BODI YA MAJI BONDE LA KATI YAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA MAFURIKO KWENYE MAZIWA YA KINDAI, MUNANG NA SINGIDANI - * Mhandisi Rasilimali za Maji, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Moses Salumbi (kushoto), akiweka alama za ukomo wa maji ya mafuriko kwenye Maziwa ya Kindai na...
    6 years ago
  • Mzuka wa Fungo
    MSANII DIAMOND AZINDUA WIMBO WA COLOURS KWA AJILI YA KOMBE LA DUNIA 2018 NCHINI URUSI - Cathbert Kajuna To:amichuzi,othmanmichuzi,MUHIDIN MICHUZI,Geofrey Adroph Bcc:fungoomar@yahoo.com May 15 at 6:00 AM Msanii Diamond akipagawisha mashabiki wa...
    7 years ago
  • MTOTO WA KITAA
    RAIS JOHN MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA JCA NA BALOZI WA JAPAN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM - *Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) Bw. Shini...
    8 years ago
  • NASMAMAFOTO
    JOSE MOURINHO HAS REPORTEDLY 'SHOKED' SOME OF HIS MANCHESTER UNITED PLAYERS - *Jose Mourinho might have hoped for a longer honeymoon at Manchester United, but three defeats in a row, in the space of a week, have led to the first maj...
    9 years ago
  • Mbeya Yetu
    TIBA YA MAGONJWA YAKO NA MATATIZO MBALIMBALI SASA HII HAPA BEI NAFUU SOMA HAPA KWA MAKINI - Je? Unaumwa au unasumbuliwa na matatizo yoyote kiafya? Unahitaji msaada wa haraka, tuna virutubisho sahihi kuondoa magonjwa kama kisukari, presha, uvimb...
    9 years ago
  • Bongo Newz Corner
    DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE' - Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo ambal...
    11 years ago
  • NEW HABARI BLOGSPOT.COM
    SIMBA ILIPOWASHANGAZA MASHABIKI WA SOKA JANA,ILIPOCHOMOA MABAO 3 NA KULAZIMISHA SARE YA 3-3 - * Beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro', akiwania mpira na kipa wa Simba Abel Dhaira, wakati wa kipindi cha pili cha mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanza...
    12 years ago
  • Maisha Yetu
    -
  • MTANZANIA HALISI
    -
  • K-VIS BLOG
    -
  • Saluti5- Tanzania
    -

WALIOTEMBELEA BLOG HII

Followers

Labels

  • BUNGE
  • Burudani
  • HABARI PICHA
  • Habari
  • Michezo
  • Siasa

Zilizosomwa Zaidi

  • *CHEKA KIMTINDO NA MAPOZI YA PICHA, JE WEWE UNAPOZI VIPI?
    Haya ni mapozi tofauti tofauti ya kupigwa picha washkaji wamevunja mpaka basi kati kitaa fulani hivi. ...
  • *SOMA RASIMU YA KATIBA MPYA HII HAPA KAMILI
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiinua juu na kunyesha Kitabu cha Rasimu ya Katiba Mpya...

SUFIANIMAFOTO Mafoto Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.