Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania U20 kutoka kulia Thomas Ulimwengu, Hassan Ramadhan na Frank Sekule wakishangilia baada ya Thomas Ulimwengu, kufunga bao la kwanza dhidi ya Sudan U20 wakati wa mchezo wao uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa leo jioni jijini Dar es salaam. Haadi mwisho wa mchezo huo Heroes iliibuka na ushindi wa mabao 3-1.
ATE YATOA ELIMU NA MSAADA WA ‘PEDI’ KWA MABINTI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO
DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAASISI ya Afya na Tumaini Endelevu (ATE) imetoa elimu ya afya ya hedhi kwa
wasichana wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jij...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment