Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania U20 kutoka kulia Thomas Ulimwengu, Hassan Ramadhan na Frank Sekule wakishangilia baada ya Thomas Ulimwengu, kufunga bao la kwanza dhidi ya Sudan U20 wakati wa mchezo wao uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa leo jioni jijini Dar es salaam. Haadi mwisho wa mchezo huo Heroes iliibuka na ushindi wa mabao 3-1.
SHIDA SIYO MOMBO, SHIDA NI AMANI NA UTULIVU WA TANZANIA
-
Septemba 9, 2025
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Hivi karibuni kumekuwa na mtiririko wa taarifa mbalimbali za uzushi kwenye
mitandao ya kijamii kuhus...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment