Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania U20 kutoka kulia Thomas Ulimwengu, Hassan Ramadhan na Frank Sekule wakishangilia baada ya Thomas Ulimwengu, kufunga bao la kwanza dhidi ya Sudan U20 wakati wa mchezo wao uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa leo jioni jijini Dar es salaam. Haadi mwisho wa mchezo huo Heroes iliibuka na ushindi wa mabao 3-1.
Sloti ya Matunda 777 Super Strike ni Kasino Yenye Bonasi na Ushindi 100%
-
777 Super Strike ni mchezo wa kasino mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma wa
Red Tiger. Katika mchezo huu, unatarajia kufurahia bonasi kibao kama vile
mizu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment