Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania U20 kutoka kulia Thomas Ulimwengu, Hassan Ramadhan na Frank Sekule wakishangilia baada ya Thomas Ulimwengu, kufunga bao la kwanza dhidi ya Sudan U20 wakati wa mchezo wao uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa leo jioni jijini Dar es salaam. Haadi mwisho wa mchezo huo Heroes iliibuka na ushindi wa mabao 3-1.
Kamati ya Bunge Yapitisha Bajeti ya Elimu 2026/2027, Yalenga Kuimarisha
Ujuzi na Kukamilisha Miradi kwa Wakati.
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepitisha randama
ya mpango na makadirio ya bajeti ya matumizi ya kawaida pamoja na mpango wa
m...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment