Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania U20 kutoka kulia Thomas Ulimwengu, Hassan Ramadhan na Frank Sekule wakishangilia baada ya Thomas Ulimwengu, kufunga bao la kwanza dhidi ya Sudan U20 wakati wa mchezo wao uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa leo jioni jijini Dar es salaam. Haadi mwisho wa mchezo huo Heroes iliibuka na ushindi wa mabao 3-1.
UKATA WA FEDHA NDIO SABABU ILIYOWAFANYA CHADEMA WASISHIRIKI UCHAGUZI
MKUU-WENJE
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Zanzibar
ALIYEKUWA Mjumbe wa Kamati Kuu kwa miaka 15 na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda
ya Ziwa Victoria Ezekia Wenje metoboa s...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment