Askari wa Usalama Barabarani, wakizungumza na dereva na abiria waliokuwa katika gari aina ya Suzuki yenye namba za Usajiri Z 484 DC, baada ya kuikamata maeneo ya Tunguu mjini Zanziba, hivi karibuni ikiwa imejaza mzigo ulioizidi uwezo na abiria huku ikipita katika barabara inayotumiwa na magari mbalimbali, jambo ambalo linaweza kusababisha ajali. Lakini baada ya askari hao kulikamata gari hili 'Stori; zilitawala zaidi kuliko kazi jambo lililoifanya kamera ya Sufianimafoto kushindwa kujua mwisho wa kamata hii ilikuwaje na kuamua kuondoka maeneo hayo na kuwaacha wakiendelea na stori huku wakilizunguka gari hilo kila kona.
Vijana tusihukumu tupambane kwani Utajiri si Miliki ya Vitu, ni Miliki ya
Akili
-
Katika ulimwengu wa leo wa Snapchat na Instagram, ambapo kila mtu anajaribu
kuonekana ana mafanikio kwa kumiliki iPhone ya hivi karibuni au kupiga
pic...
36 minutes ago

No comments:
Post a Comment