Habari wadau, naomba muisome kwa makini, wale ambao hamjafika umri wa miaka 30 mjaze kuomba hiyo nafasi, mwisho ni Ijumaa wiki hii. Ni rahisi sana namna ya kutuma nenda mahali palipoandikwa Click here for more details. Ukibofya hapo mambo yatakuja. Ni muhimu sana hasa kwa waandishi chipukizi au wale wa pasipoti zenu hazijazidi umri wa miaka 30.
Nawasilisha. Amir Mhando, Katibu Mkuu TASWA
|
NEMC YAKIFUNGA KIWANDA CHA HOOTA KWA KUTOKUZINGATIA TARATIBU ZA KIMAZINGIRA
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Leo Februari 9,
2026 limekifunga kiwanda cha urejelezaji wa taka za plastiki cha HOOTA
kilichopo ...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment