Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii, Utamaduni na Michezo, katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Wizara hiyo Ikulu Mjini Zanzibar jana,(kushoto) Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad. Picha na Ramadhan Othman,IKULU
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment