Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii, Utamaduni na Michezo, katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Wizara hiyo Ikulu Mjini Zanzibar jana,(kushoto) Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad. Picha na Ramadhan Othman,IKULU
COASTAL UNION YAAMBULIA SARE KWA TRA UNITED
-
WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sars ya kufungana bao 1-1 na TRA
United ya Tabora katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu
Uwanja w...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment