Ni Barabara ya Bibi Titi karibu na Mahakama ya Kisutu, majengo mawili yanayopendezesha jiji hususan eneo hilo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuwa na majengo kadhaa marefu ya ghorofa ambayo miongoni mwake ni jengo hili (kushoto) lililokamilika hivi karibuni, ambalo pembeni yake pia kuna jengo jingine linaloendelea kujengwa ambalo linakisiwa kuwa kubwa (refu) kuliko yote ya jijini.
BARABARA YA LAMI YA KILOMITA 1.6 KUINGIA HOSPITALI YA JIJI DODOMA
KUCHOCHEA HUDUMA ZA AFYA NA MAENDELEO NALA
-
NALA - DODOMA
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetekeleza ujenzi wa barabara ya lami yenye
urefu wa kilomita 1.6 kutoka barabara kuu ya Bahi hadi Hospitali ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment