Ni Barabara ya Bibi Titi karibu na Mahakama ya Kisutu, majengo mawili yanayopendezesha jiji hususan eneo hilo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuwa na majengo kadhaa marefu ya ghorofa ambayo miongoni mwake ni jengo hili (kushoto) lililokamilika hivi karibuni, ambalo pembeni yake pia kuna jengo jingine linaloendelea kujengwa ambalo linakisiwa kuwa kubwa (refu) kuliko yote ya jijini.
Serikali yatangaza Fursa ya mafunzo ya uyaya Qatar
-
Na Rahel Pallangyo
Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, ikishirikiana na Wakala
Almaha Travel and Tours Company Limited pamoja na Khalid I...
2 minutes ago

No comments:
Post a Comment