Ni Barabara ya Bibi Titi karibu na Mahakama ya Kisutu, majengo mawili yanayopendezesha jiji hususan eneo hilo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuwa na majengo kadhaa marefu ya ghorofa ambayo miongoni mwake ni jengo hili (kushoto) lililokamilika hivi karibuni, ambalo pembeni yake pia kuna jengo jingine linaloendelea kujengwa ambalo linakisiwa kuwa kubwa (refu) kuliko yote ya jijini.
TRA YAMKABIDHI BI. ZAINAB SH. MILIONI 2 ILI AFUFUE BIASHARA YAKE
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemkabidhi kiasi cha Sh. Milioni Mbili
(2,00,000) Bi. Zainab Msamehe mkazi wa Tegeta mkoani Dar es Salaam kwaajili
ya kuf...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment