Ni Barabara ya Bibi Titi karibu na Mahakama ya Kisutu, majengo mawili yanayopendezesha jiji hususan eneo hilo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuwa na majengo kadhaa marefu ya ghorofa ambayo miongoni mwake ni jengo hili (kushoto) lililokamilika hivi karibuni, ambalo pembeni yake pia kuna jengo jingine linaloendelea kujengwa ambalo linakisiwa kuwa kubwa (refu) kuliko yote ya jijini.
Mwitikio wa Wananchi Walazimisha Tume ya Amani Kuongezewa Muda wa Kazi
-
Mamlaka ya Uteuzi imeridhia maombi ya kuongezewa muda kwa Tume ya
Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya
Uchaguzi Mkuu w...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment