Ni Barabara ya Bibi Titi karibu na Mahakama ya Kisutu, majengo mawili yanayopendezesha jiji hususan eneo hilo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuwa na majengo kadhaa marefu ya ghorofa ambayo miongoni mwake ni jengo hili (kushoto) lililokamilika hivi karibuni, ambalo pembeni yake pia kuna jengo jingine linaloendelea kujengwa ambalo linakisiwa kuwa kubwa (refu) kuliko yote ya jijini.
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA UKARABATI MKUBWA WA RELI
YA TAZARA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha Ukanda wa Kati na
Kusi...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment