Habari za Punde

*BONDIA JAPHET KASEBA AZUNGUMZIA ANAVYOFAHAMU KUHUSU 'FREEMASON'

MO BLOG: Kaseba kuna ukweli wowote kwamba kabla ya Bondi kabla ya kupanda ulingoni kucheza pambano, ni vyema siku moja kabla ya pambano lake anapaswa kufanya mapenzi, ili kuwa mwepesi zaidi ama kulainisha viungo?

MO BLOG: Hebu izungumzie familia yako kwa sababu mengi yamesemwa na hatupendi kuyarudia.

KASEBA: Mmmh! mimi kwa upande wangu kwanza kabisa nampenda sana mke wangunawapenda ndugu zangu, pia nawapenda sana wazazi wangu na siku zote namshukuru mwenyezi mungu na naamini hiyo ni moja wapo ya mafanikio yangu, kwa kuwa kila ninachohangaikia nahaingikia kwa sababu ya familia yangu,

Lakini hili la kufanya mapenzi kabla ya kupanda ulingoni, sidhani kama linaukweli wowote.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.