Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama,akimkabidhi Trekta, Diwani wa Kata ya Kwadelo, wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, Alhaj, Omary Kariati, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Trekta hilo limenunuliwa kutoka Suma J KT, kwa ajili ya Chama Cha Maendeleo ya Kata hiyo ya Kwadelo chini ya Kwadelo Ward Development Commitee (KWDC).
WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MAGEREZA NA VYUO VYA MAFUNZO WANOLEWA
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya
waratib...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment