Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama,akimkabidhi Trekta, Diwani wa Kata ya Kwadelo, wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, Alhaj, Omary Kariati, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Trekta hilo limenunuliwa kutoka Suma J KT, kwa ajili ya Chama Cha Maendeleo ya Kata hiyo ya Kwadelo chini ya Kwadelo Ward Development Commitee (KWDC).
Piga Pesa Ya Uhakika Ukicheza Gates of Halloween Ya Meridianbet
-
MERIDIANBET inakuletea burudani ya kipekee kupitia mchezo wa Gates of
Halloween. Huu si mchezo wa kawaida, ni safari ya kusisimua ndani ya
ulimwengu wa h...
24 minutes ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment