Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama,akimkabidhi Trekta, Diwani wa Kata ya Kwadelo, wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, Alhaj, Omary Kariati, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Trekta hilo limenunuliwa kutoka Suma J KT, kwa ajili ya Chama Cha Maendeleo ya Kata hiyo ya Kwadelo chini ya Kwadelo Ward Development Commitee (KWDC).
UKWELI KUHUSU TUME ZA KIJAJI: NI USHAHIDI WA KIHISTORIA UNAOWASHAWISHI
MARAIS KUCHUKUA HATUA KALI ZA KUBADILI MAMBO
-
Uundaji wa Tume za Kijaji nchini Tanzania umekuwa chombo muhimu na
madhubuti cha kisheria kinachotumiwa na Wakuu wa Nchi pale kunapojitokeza
malalamiko ...
9 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment