Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama,akimkabidhi Trekta, Diwani wa Kata ya Kwadelo, wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, Alhaj, Omary Kariati, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Trekta hilo limenunuliwa kutoka Suma J KT, kwa ajili ya Chama Cha Maendeleo ya Kata hiyo ya Kwadelo chini ya Kwadelo Ward Development Commitee (KWDC).
MBUNGE MHANDO NA OLE LEKAITA WASHIRIKI UZINDUZI SHULE YA AWALI NA MSINGI
LESIOT
-
Katika kuonesha ujirani mwema Mbunge wa Kiteto Edward Ole Lekaita na Mbunge
wa Kilindi Salehe Mhando wameamua kushirikiana kuhakikisha barabara ya
Len...
10 minutes ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment